PAMOJA LINK.
Pamoja link na blog maalum kwa ajili ya habari mbalimbali, mambo yanayotuunganisha kijamii kama michezo, muziki, mahusiano na kushauriana katika mengi yanayotugusa kama watu wamoja na taifa moja, ikiwa na dhamira kuu ya kuhabarisha, kupeana maarifa mbalimbali na pia kuweza kupata mikizi na video mbalimbali za wasanii wa ndani Tanzania na nchi nyingine.

Pia tutahabarishana kuhusiana na filamu hususani kwa wapenzi wa filamu za nje. Zaidi tutapata filamu mpya na kujua lini zinatoka na namna gani waweza zipata. Pia kuweza pata trailers za hizo filamu.
Kwa mwenye habari, tangazo, ama taarifa yoyote ambayo angependa iwafikie watu basi tuma kwa kupitia e-mail chonyae@gmail.com.

Pia kwa wasanii wenye nyimbo zao waweza zituma kupitia e-mail hiyo hapo juu na zitawekwa kwa blog na pia atakayetuma basi aweke na picha na taarifa kamili za wimbo husika, itakuwa vema pia.
Kwa mawasiliani zaidi                :        +255763-494 143,     +255685-280 496. 

0 comments:

Post a Comment