Saturday, May 25

On 6:05 PM
ILIKUWA NI SIKU NZURI SANA KWA WAHITIMU WA VITIVO VYOTE VYA UDOM KATIKA MAHAFALI YAO YA KIDINI ILIYOFANYIKA KATIKA KITIVO CHA HUMANITIES. 

MPENDWA WETU DADA GAUDENSIA MKUMBWA ANAPENDA KUTOA SHUKRANI KWA WOTE WALIOSHIRIKI KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE KUFANIKISHA SHEREHE HIYO. HAWA NI BAADHI TU YA WALIOSHIRIKIANA NAE
Hapa ni yeye mwenyewe GAUDENSIA MKUMBWA


hivi ndivyo meza kuu ilivyokuwa, na hapa ni wakati mwali (keki) ilipokuwa iliandaliwa tayari kwa ufunguzi rasmi wa sherehe hiyo.
akiwa makini kutazama nini kinaendelea ili kisimpite hata kimoja

ilimbidi kufurahi tu mda wote kwani ndiyo karama aliyonayo ya kuwa na furaha mda wote.

Shukrani nyingi sana kwa Mr. P. Kamugisha na Mr. Eliakana ambae naye alikuwa ni mmoja wa wahitimu

wakati alkipokea cheti chake.

Ndugu jamaa na marafiki waliofika kumpongeza


Dada mtu akimpongeza mdogo wake katika mahafali hayo

Hapa ni mama mdogo kutoka kushoto na kulia ni dada mtu na yeye mwenyewe akiwa katikati

HONGERA SANA NA MUNGU AKUJALIE MAISHA MEMA HUKO UENDAKO KWANI SAFARI YA MAISHA HAINA MWISHO LAKINI INA VITUO VINGI ZAIDI YA VYA DALADALA.

2 comments:

  1. waooohhh we are appreciating all those who participated fully at this concert

    ReplyDelete
  2. i am delighted honestly to be part and parcel of this concert

    ReplyDelete