Showing posts with label Mapenzi. Show all posts
Showing posts with label Mapenzi. Show all posts

Friday, October 24

On 5:24 AM

Imacy4 kuachia ngoma mpya hivi karibuni iliyofanyika pande za Arusha akiwa kashirikiana na wasanii kama Barro, GmG na Bester wote wa Arusha. 
Beat imesukwa na Roq na sauti na mixing zimefanywa na Barro.
Kaa tayari kwa nyimbo hiyo na kwa wanaoipata East Africa Radio Leo Tar 24 October 2014 nyimbo hiyo itatambulishwa mida ya saa kumi. kwenye blogs na social network itaingia Wiki ijayo.
KAA TAYARI COZ NI HATAREEEE......! 


Wednesday, September 24

On 4:12 AM

Monday, September 22

On 9:07 PM

Wednesday, July 30

On 10:36 PM

Saturday, July 26

On 9:24 PM



Wednesday, July 9

On 12:09 AM

On 12:04 AM

Video Mpya Ya Matonya Iliyosimamiwa na Kuongozwa na Director Pablo Wa D 360

Tuesday, July 8

On 11:36 PM
Baada ya kungojwa sana, hatimaye mdogo mdogo ya Diamond sasa imetoka rasmi. 
Directed By. God Father.

Wednesday, July 2

On 12:31 AM
On 12:28 AM
Kama ulimiss hii, itazame sasa umsikie AY.



On 12:18 AM


umemmiss Tupac! Kama suprise mtazame hapo ndani ya BET awards za 2014.


On 12:12 AM

For all your music needs ▻▻ Chris Brown nailed his performance at the 2014 BET Awards and was joined by a few special guests including Lil Wayne, Travis Barker,.

Chris Brown Bet Awards 2014 'Loyal' Performance Was Surprising. Chris Brown surprised us all by performing to his hit song 'Loyal' at BET Awards 2014. Chris Brown made jaws drop when he attended.

After nearly four hours of prizes, performances and the occasional bleeped expletive, the 2014 BET Awards came to a close. When it was all over, Pharrell Williams had two trophies, as did newcomer.
On 12:07 AM

Utengenezaji wa tamthilia ya The walking dead mzimu wa 5 unaendelea huko Georgia na sasa kwa wapenzi watazamaji wa tamthilia hii wanaweza kuona baadhi ya sehemu zilizo tayari kwa kuona ilivyo nyuma ya pazia. 
Tazama video hapa chini kuona mwenyewe.



Tuesday, July 1

On 11:54 PM
Mwimbaji  Khloe Kardashian has kafunguka kuhusiana na haja ya kupata mtoto, kwa kipindi alichokuwa na mme wake Lamar Odom katika kipindi chao cha furaha na maisha poa.
Tangu wapeane talaka mwaka 2013 mwezi wa 12, Khloe mwenye miaka 30 amekuwa akitoka na beoyfriend wake mpya kwa sasa French Montana.


Ingawa amekuwa na wakati mzuri katika mahusiano yake ya sasa, hana mpango wa kupata ujauzito na French Montana

Khloe anasema hata hathubutu kujaribu kupata mtoto na Montana. alishajaribu sana kipindi yupo na mme wake wa zamani Lamar Odom, lakini ilikuwa na magumu mengi kuweza kupata mtoto kwa kipindi hicho. 
Kwa hiyo suala la kupata mtoto akiwa na French Montana halipo kabisa kwa akili yake


On 11:14 PM

Rapper 'Fooling Around' With Mya, Pays For Sexy R&B Mistress' Bills?
Jay Z and Beyonce
The rumors are already spread that, first, Jay-Z was allegedly cheating on Beyonce with "Long Island Princess." Casey Cohen, Then, aspiring model/rapper LIV claimed that SHE was HOV's no. 1 "side chick." Now? Apparently songstress Mya's getting in on some of the action with Queen Bey's hubby!

Casey Cohen

According to the infamous gossip webloid site Jay has been "hooking up" with the 34-year-old "It's All About Me" pop starlet for awhile now, and he just loves spoiling his mistresses!
A few months ago, the popular "blind item" website Crazy Days and Nights reported from a top celebrity snitch:
When people talk about Jay-Z and his mistresses, they often forget about a mainstay who has been there forever. She is the person he calls when he needs to be discreet and thinking about old times. She is that very short-named R&B singer who hasn't had a hit in awhile and doesn't really even act or record any longer. She basically lives off the generosity of Jay-Z and a couple of other guys. She peaked at A-.
Well, according to MTO, this "insider" just revealed the name of Jay's longtime "fling" - Mya. Remember her?


Apparently, HOV takes care of Mya like paying for her bills, showering her with gifts and some other Stuffs.

Mya

On 8:43 AM
On 8:42 AM
Fareed Kubanda, Wa Kipekee, One of a Kind au kama anavyofahamika kwa wengi Fid-Q, Msanii Mkongwe wa Hip Hop Tanzania mwenye mafanikio makubwa ana machache ya kusema. Msanii alieipandisha Mwanza katika ramani ya kimuziki Tanzania, na mshahiri mahiri mwenye tenzi zenye uzito katika lugha adhimu ya Kiswahili.
Miaka saba bila kushinda tuzo yoyote pamoja na kuteuliwa, na almanusra akate tama, anatukumbusha kuwa mvumilivu hula mbivu. 
Fareed anatukumbusha machache kuhusu changamoto ya kujenga familia akitolea mfano mahusiano ya wazazi wake. Fid Q pia anatueleza ni jinsi gani malezi yake yamempa funzo katika jinsi anavyotarajia kumlea mwanawe.
Fid Q ana mengi ya kutushirikisha kuhusu alichofanya kukuza sanaa na vipaji, jinsi gani tutawatambua wale waliopiga hatua na kuitambulisha nchi kisanii. Ni mmoja wa wasanii waliokomaa, na hekima zikitiririka kinywani kwake....msikilize mwenyewe, upate machache!
On 8:40 AM

Monday, June 30

On 3:09 PM
THE CHAMP IS HEEREEEEE.........!
Earlier before the match Danial Brian predicts that Cena will win this match and his worlds became true and Cena is a new crowned champion


Despite all the beatings and cruel fights between the 8 superstars to enter in the ring for WWE world heavyweight championship ladder match, John Cena make another Historical moments for becoming the new WWE world heavyweight championship and left the authority Triple H and Stephan McMahon like zzzzzzzzzzzzzzz.......!


It was at this point, though, that every Superstar decided to make their big plays for victory, with the result resembling something of a 12-car pileup. First, Wyatt stormed the ring and drove Orton to the mat with Sister Abigail; Del Rio stopped him moments later with a kick to the face and was repaid moments later by Sheamus, who Brogue Kicked The Essence of Excellence into a stupor. Sheamus’ own attempt to climb the ladder was cut short yetagainby Cesaro, who sent him tumbling into a European uppercut; Orton then stopped The Swiss Superman from winning by swinging him off the ladder into an RKO.




The Apex Predator ascended the ladder once again and Reigns made his final play to cut his budding rival off at the pass. For a moment, it seemed like the former WWE Tag Team Champion had made good on his promise to become the Champion of Champions when he knocked The Viper off the ladder, but Kane yet again proved himself worthy of The Authority’s trust when he removed Reigns from the equation with a Chokeslam.

It was then that Cena seized the opportunity fate had presented him. With Kane and Orton alone in the ring and the titles ripe for the Viper’s taking, the Cenation leader made his play. First, he AA’ed an unsuspecting Kane and then delivered his signature maneuver to Orton, slamming The Apex Predator on top of Kane’s prone body for good measure before climbing the ladders and unhooking the WWE World Heavyweight Championship for his 15th World Championship reign.

And what a reaction he got from ringside: The Game, who had stacked the deck and rigged the odds in every way imaginable, nearly tore off his tie in frustration. Stephanie McMahon’s jaw all but hit the floor. John Cena scaled the turnbuckles with the two titles in hand – the very outcome The Authority had worked so hard to avoid all those months ago – and mocked them with the “You Can’t See Me” hand gesture. Of course, they could see him. In fact, if the trend holds, they’ll be seeing it for a long, long time to come, whether they like it or not. The Champ is here.

Other wonderful moments are as shown below:

This was very worst moment for the authority and this is how they were shocked:

 

Sunday, June 29

On 10:42 PM